Friday 26 July 2013

RIP WILLY ONESMO MUSHI



Mchimbaji wa madini ya Tanzanite mwajiriwa wa kampuni ya TanzaniteOne ya Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Willy Onesmo Mushi (39) amefariki dunia baada ya kuuawa kwa kupigwa risasi ya bastola akiwa mgodini kwenye kampuni hiyo.

No comments:

Post a Comment