Wednesday 12 December 2012

BURIANI PAMPAY

Kamanda wa polisi Mkoani Manyara Akili Mpwapwa (kushoto) na mwandishi wa Radio Triple A ya jijini Arusha,Hamad Mongi wakiwa kwenye mazishi ya aliyekuwa mwandishi wa habari wa Triple A marehemu Juma Hamis Pampay aliyefariki dunia juzi mjini Babati kwa ugonjwa wa saratani ya inii na kuzikwa jana mjini humo


No comments:

Post a Comment