Wednesday 22 November 2017

DED KAMOGA AKIITUMIKIA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU


 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Mkoani Manyara, Hudson Starnley Kamoga akiwakabidhi ndoo yenye maji wanafunzi wa shule ya msingi Endamasak, baada ya mradi wa maji kukamilika na kuondoa tatizo la muda mrefu la ukosefu wa maji lililokuwa linawakabili wanafunzi na walimu wa shule hiyo.



Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Mkoani Manyara, Hudson Starnley Kamoga (kushoto) akikagua mabomba ya maji kwenye mradi wa Kijiji cha Endamasak, kulia ni mhandisi wa maji wa Halmashauri hiyo John Michael.



Mkurugenzi Mtendani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Mkoani Manyara, Hudson Starnley Kamoga akila makande kwenye shule ya msingi Endamasak, huku wanafunzi wengine wakipanga foleni ya kupata chakula hicho, baada ya kukamilika kwa mradi wa maji shuleni hapo.

No comments:

Post a Comment