Wednesday 23 September 2015

KAMANDA UVCCM SIMANJIRO DANIEL OLE MATERI

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahaman Kinana akimkabidhi cheti na kumpongeza Mkurugenzi wa Grace Land Hotel Daniel Ole Materi ambaye ni Kamanda wa UVCCM Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, katikati ni Mkuu wa wilaya hiyo Mahmoud Hashim Kambona na Katibu wa CCM mkoani humo Ndeng'aso Ndekubali.
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahaman Kinana akimkabidhi ngao Mkurugenzi wa Grace Land hotel Daniel Ole Materi na kumsimika kuwa Kamanda wa UVCCM Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara.
Kamanda wa vijana wa UVCCM Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Daniel Ole Materi akiwapungia mkono wakazi wa Mji mdogo wa Mirerani, baada ya kusimikwa na Ktibu Mkuu wa CCM, Abdulrahaman Kinana.

No comments:

Post a Comment