Wednesday 23 September 2015

LUCAS ZACHARIA

Katibu Uchumi na Fedha wa CCM Mkoani Manyara, Lucas Chimbason Zacharia akijinadi mbele ya Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Omary Kinana, kwa wakazi wa Mji mdogo wa Mirerani wakati akiomba kuchaguliwa kuwa diwani wa Kata ya Endiamtu.
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahaman Kinana akimsikiliza Katibu Uchumi na Fedha wa CCM Mkoa wa Manyara, Lucas Zacharia wakati akiomba kura ili achaguliwe tena kuwa Diwani wa Kata ya Endiamtu.
Mgombea udiwani wa Kata ya Endiamtu Wilayani Simanjiro Lucas Chimbason Zacharia ambaye pia ni Katibu Uchumi na Fedha wa CCM mkoani Manyara, akiwaomba kura wakazi wa kata hiyo.

No comments:

Post a Comment