Wednesday 23 September 2015

MAGUFULI BUKOBA

 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John  Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa Gymkhana mjini Bukoba tayari kuhutubia wakazi wa Manispaa ya Bukoba.

Umati wa wakazi wa manispaa ya Bukoba wakiwa wamefurika katika viwanja vya Gymkhana kumsikiliza mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Magufuli .

No comments:

Post a Comment