Thursday 1 October 2015

MWENGE WA UHURU MKOANI MANYARA



Mara baada ya kuhitimisha mbio za mwenge wa uhuru tulipoukimbiza Mkoani Manyara



Wakimbiza mwenge kitaifa Karim Haruna (kushoto) na Arnold Litimba wakikagua zao la kitunguu kwenye kijiji cha Gunge Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, mara baada ya mwenge wa uhuru kutembelea wilayani humo



Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa, Juma Khatibu Chum akizindua mradi wa barabara ya Bassodesh-Mulbadaw jana Wilayani Hanang' Mkoani Manyara.

No comments:

Post a Comment