Friday 6 December 2013

UFUTA UMEKUBALI SHAMBANI


Mmoja kati ya wakulima wa zao la ufuta kwenye Kijiji cha Matufa, Tarafa ya Mbugwe Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, Khadija Abdallah ambaye aliwezeshwa na shirikal lisilo la kiserikali la Farm Africa, akikagua zao shambani mwake.

No comments:

Post a Comment