Friday 6 December 2013

MKULIMA MBUNIFU


Mkulima mbunifu wa zao la ufuta wa kijiji cha Ngolei, Kata ya Mwada, Tarafa ya Mbugwe, Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, Costerntine Martin akipanda mbegu shambani kwa kutumia kifaa cha Costerplanter alichokibuni baada ya kuwezeshwa sh300,000 na shirika la Farm Africa.

No comments:

Post a Comment