Friday 20 December 2013

HONGERA SANA


Mkuu wa Kituo cha polisi Mirerani, Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Ally Mohamed Mkalipa (kushoto) akimpongeza aliyekuwa Ofisa utumishi wa wilaya hiyo, Patrice Saduka aliyehamishiwa wilaya ya Kisarawe, Mkoani Pwani, kwenye tafrija ya kumuaga iliandaliwa na watendaji wa kata za Simanjiro

No comments:

Post a Comment