Saturday 21 December 2013

AJALI BASHNET



Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wa Mkoa wa Manyara na baadhi ya wakazi wa Bashnet wakiwa kwenye eneo la tukio la ajali ya gari lililokuwa limebeba mahindi na kuanguka kwenye mlima wa Bashnet Wilayani Babati.



Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wa Mkoa wa Manyara wakiwa katika eneo la tukio la ajali ya gari lililokuwa limebeba mahindi na kuanguka kwenye mlima wa Bashnet Wilayani Babati, ambapo ajali ilikuwa mbaya ila hakuna aliyepoteza maisha kwenye gari hili lililokuwa na watu wawili yaani dereva na kondakta wake.



Jamani wamepona ehee? Baadhi ya wakazi wa eneo la Bashnet wakitazama ajali ya gari ambapo dereva alikimbia baada ya ajali hiyo.

No comments:

Post a Comment