Wednesday 25 January 2017

MAPADRI WATOA MSAADA KWA WANAFUNZI TARAFA YA EYASI

Padri Miguel Lozano akizungumza na wanafunzi wa shule ya sekondari Mang'ola Wilayani Karatu Mkoani Arusha, baada ya kutoa msaada wa vitabu 3,000 vya thamani ya shilingi milioni 30 akishirikiana na Padri Pepe.
Padri Miguel Lozano akigawa miongoni mwa vitabu 3,000 vyenye thamani ya shilingi milioni 30 akishirikiana na Padri Jose Torner Pepe wote wa shirika la Roho Mtakatifu Parokia ya Mangola kwa wanafunzi wa shule nne za sekondari za serikali Tarafa ya Eyasi Wilayani Karatu Mkoani Arusha.

No comments:

Post a Comment