Friday 3 February 2017

DC SIMANJIRO AWAASA WANANAISINYAI KUSHIRIKIANA NA TANZANITEONE

 Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, mhandisi Zephania Chaula akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Naisinyai kuhusiana na mahusianao mema na wawekezaji majirani zao kampuni ya TanzaniteOne.
 Ofisa mahusiano wa kampuni ya TanzaniteOne, Khalfan Hayesh akisoma mikakati ya kusaidiana kati yao na wananchi wa Kijiji cha Naisinyai, kushoto ni Mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo Robert Grafen Greaney.

No comments:

Post a Comment