Saturday 1 March 2014

WADAU WA MADINI YA TANZANITE THAILAND



Balozi wa Afrika ya Kusini nchini Thailand Mhe. Ruby Marks (katikati) katika picha ya pamoja na wafanyabiashara wa madini, wa kwanza kushoto, Bw. Sam Mollel mwakilishi kutoka Tanzania Geomological Center (wa tatu kulia) Bw. Musa Shanyangi, Mwenyekiti wa Kamati ya Vito ya Shirikisho la Wachimbaji Tanzania (FEMATA), Bw. Gregory Kibusi.(nne kulia) Bw Harry Mushi na Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Manyara, Dorah Mushi.

No comments:

Post a Comment