Saturday 22 March 2014

PONGEZI MIRERANI BENJAMIN MKAPA KWA UFAULU MZURI



Wanafunzi wa shule ya sekondari Mirerani Benjamin Mkapa wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, wakiwasikiliza walimu na viongozi wa Mji mdogo wa Mirerani, baada ya wanafunzi watatu kupata divishen one na mmoja kupata divishen two, tangu shule hiyo ianzishwe mwaka 2002 haijawahi kufaulisha hivyo.



Mkuu wa Kituo cha polisi Mirerani, Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, SP Ally Mohamed Mkalipa akizungumza na wanafunzi wa shule ya sekondari Mirerani Benjamin Mkapa ambapo alitoa shilingi laki 3 kwa wanafunzi watatu waliofaulu mtihani wa kidato cha nne mwaka jana na kupata Divishen One.




Wanafunzi wa shule ya sekondari Mirerani Benjamin Mkapa wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, wakiwasikiliza walimu na viongozi wa Mji mdogo wa Mirerani, baada ya wanafunzi watatu kupata divishen one na mmoja kupata divishen two, tangu shule hiyo ianzishwe mwaka 2002 haijawahi kufaulisha hivyo.



Diwani wa kata ya Endiamtu Mji mdogo wa Mirerani, Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Lucas Chimbason Zacharia akizungumza na wanafunzi wa shule ya sekondari Mirerani Benjamin Mkapa ambapo aliwapongeza wanafunzi wa watatu waliofaulu mtihani wa kidato cha nne mwaka jana na kupata Divishen One na mwanafunzi mmoja aliyepata divishen two.


No comments:

Post a Comment