Thursday 13 February 2014

UKAGUZI ELIMU


Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Elaston Mbwilo akizungumza na mzazi na mwanafunzi wa shule ya sekondari Naisinyai Wilayani Simanjiro kwenye ziara yake ya kutembelea na kukagua elimu wilayani humo

Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Elaston Mbwilo akizungumza na wakazi wa Kata ya Mirerani, Wilayani Simanjiro, kwenye ziara yake ya kutembelea na kukagua elimu wilayani humo kushoto ni Diwani wa kata hiyo Justin Nyari na kulia ni Katibu Tawala wa wilaya hiyo, Elias Ntiruhungwa.

No comments:

Post a Comment