Friday 29 November 2013

KIKAO ALAT


Mwenyekiti wa Jumuiya ya Mamlaka ya Serikali za mitaa (Alat) Mkoa wa Manyara, Nicodemus Tarmo (katikati) akiongoza kikao cha wajumbe wa mkoa huo kilichofanyika mji mdogo wa Orkesumet Wilayani Simanjiro kushoto ni Makamu Mwenyekiti, Mainge Lemalali na Katibu Omary Mkombole.

No comments:

Post a Comment