Friday 15 November 2013

MAJADILIANO MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA


Mkuu wa Wilaya ya Babati,  Mkoani Manyara, Khalid Mandia, akiongoza kikao cha wadau wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) wa mkoa huo kilichofanyika mjini humo wengine kutoka kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Mkurugenzi wa Uhai na Takwimu wa NHIF, Michael Mhando, Mjumbe wa Bodi ya wakurugenzi ya mfuko huo Lydia Choma na kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Kiteto, Martha Umbulla.

No comments:

Post a Comment