Friday 15 November 2013

WADAU MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA KATIKA MKOA WA MANYARA


Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Elaston Mbwilo kwenye picha ya pamoja na wadau mbalimbali waliohudhuria kikao cha Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya NHIF kilichofanyika Mjini Babati kulia kwake ni Mjumbe wa Bodi ya wakurugenzi ya mfuko huo, Lydia Choma na kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Babati, Khalid Mandia akifuatiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kiteto, Martha Umbulla na Mkurugenzi wa Uhai na Takwimu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Michael Mhando baada ya kufungua kikao cha wadau wa mfuko huo wa mkoa huo.

No comments:

Post a Comment