Tuesday 17 October 2017

HONGERA DC SIMANJIRO ZEPHANIA CHAULA

Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Mhandisi Zephania Chaula akivishwa vazi la asili na wananchi wa Kijiji cha Emboreet baada ya kuwazindulia madarasa mawili na nyumba ya walimu kwenye shule ya msingi Emboreet.


No comments:

Post a Comment