Friday 6 October 2017

KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU

 Mbunge wa Jimbo la Mbulu Mkoani Manyara, Flatei Gregory Massay akizungumza kwenye kikao cha Baraza la Madiwani wa halmashauri hiyo.
 Baadhi ya madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, wakiwa kwenye kikao cha baraza hilo.
 Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, Michael Faaray akizungumza kwenye kikao cha Baraza la Madiwani.
Mbunge wa Viti Maalum wa Mkoa wa Manyara, Marthu wa Umbullah akizungumza kwenye kikao cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu.

No comments:

Post a Comment