Tuesday 7 June 2016

UJENZI WA BARABARA YA KIA-MIRERANI INAYOJENGWA KWA KIWANGO CHA LAMI



Baadhi ya wakazi wa Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, wakiangalia Katapila likiwa linatengeneza barabara ya kiwango cha lami ya Kia-Mirerani inayoendelea kutengenezwa ambapo inatarajia kumalizika mwezi Desemba mwaka huu.


No comments:

Post a Comment