Tuesday 21 July 2015

NAGOMBEA UBUNGE MANYARA


Makamu Mwenyekiti wa klabu ya waandishi wa habari wa Mkoa wa Manyara, (Mamec) Mary Margwe (kushoto) akirudisha fomu ya kugombea ubunge wa viti maalumu mkoani humo kwa Kaimu Katibu wa UWT mkoani Suraiya Kangusu.

No comments:

Post a Comment