Sunday 26 July 2015

UZINDUZI WA TIBA KWA KADI (TIKA) BABATI


Mkuu wa Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, Crispin Meela akilenga shabaha kwenye uzinduzi wa huduma ya tiba kwa kadi (Tika) katika halmashauri ya mji huo katika uwanja wa Kwaraa.

Mkuu wa Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, Crispin Meela akizungumza kwenye uwanja wa Kwaraa mjini Babati katika uzinduzi wa huduma ya tiba kwa kadi (Tika) wa halmashauri ya mji huo, kulia ni Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya mji huo Omary Mkombole.

Mkuu wa Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, Crispin Meela akilenga shabaha kwenye uzinduzi wa huduma ya tiba kwa kadi (Tika) katika halmashauri ya mji huo katika uwanja wa Kwaraa.

No comments:

Post a Comment