Sunday 17 August 2014

KAMANDA WAITARA



Baadhi ya viongozi wa Chadema, wa mdogo wa Mirerani, Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, wakimsikiliza Mjumbe wa Taifa wa Kamati Kuu ya Chama hicho Mwita Waitara akizungumza nao.



Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Mwita Waitara akizungumza na baadhi ya viongozi wa chama hicho wa mdogo wa Mirerani, Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, kuhusiana na chaguzi mbalimbali za chama hicho kwenye wilaya hiyo.


No comments:

Post a Comment