Saturday 23 July 2016

WAKUU WAPYA WA WILAZA ZA MKOA WA MANYARA



Katibu Tawala wa Mkoa wa Manyara Eliakim Maswi akizungumza na Wakuu wapya wa Wilaya za Mkoa huo, mjini Babati.



Mkuu mpya wa Wilaya ya Hanang’ Sara Msafiri akila kiapo mjini Babati mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Dk Joel Bendera.



Wakuu wapya wa Wilaya za Mkoa wa Manyara, wakijiandaa kula kiapo mbele ya Mkuu wa Mkoa huo Dk Joel Bendera.



Mkuu mpya wa Wilaya ya Hanang’ Mkoani Manyara, Sara Msafiri akipongezwa na watumishi wa Wilaya hiyo baada ya kula kiapo mjini Babati.



Wakuu wapya wa Wilaya za Mkoa wa Manyara, wakiwa kwenye picha ya pamoja na wabunge wa Mkoa huo na baadhi ya viongozi wa Mkoa huo, baada ya kula kiapo mbele ya Mkuu wa Mkoa huo Dk Joel Bendera.

No comments:

Post a Comment