Friday 23 October 2015

KAMPENI ENDIAMTU

 Katibu uchumi na fedha wa CCM Mkoani Manyara, Lucas Zacharia ambaye ni mgombea udiwani wa Kata ya Endiamtu Wilayani Simanjiro akiwa na mkewe Beatrice Lucas kwenye kampeni ya kuomba kura ya udiwani

Katibu uchumi na fedha wa CCM Mkoani Manyara, Lucas Zacharia ambaye ni mgombea udiwani wa Kata ya Endiamtu Wilayani Simanjiro akiomba kura kwa wakazi wa kata hiyo

No comments:

Post a Comment