Wednesday 3 June 2015

DK TITUS KAMANI AKIFUNGA WIKI YA MAZIWA MANYARA

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani akimsikiliza Ofisa masoko na matukio wa kampuni ya Asas Dairies ya Mkoani Iringa, Jimmy Kiwelu baada ya kampuni hiyo kupata ushindi wa jumla kwenye wiki ya 18 ya maziwa kitaifa iliyofanyika Mjini Babati Mkoani Manyara.


 Ofisa masoko na matukio wa kampuni ya Asas Dairies Ltd ya Iringa inayozalisha bidhaa zinazotokana na maziwa, Jimmy Kiwelu, akiwaonyesha waandishi wa habari medali tatu za dhahabu walizopata baada ya kuwa washindi wa jumla kitaifa kwenye wiki ya 18 ya maziwa iliyohitimishwa mjini Babati Mkoani Manyara.


No comments:

Post a Comment