Tuesday 31 March 2015

MKUTANO WA SUMAYE KATESH HANANG'



Waziri Mkuu mstaafu Fredrick Sumaye akisindikizwa na baadhi ya viongozi wa jadi wa Wilaya ya Hanang' Mkoani Manyara, kwenda kuhutubia kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jana mjini Katesh na kuandaliwa na umoja wa Vijana wa CCM wilayani humo.



Baadhi ya wakazi wa Wilaya ya Hanang' Mkoani Manyara wakimsikiliza Waziri Mkuu mstaafu na mbunge mstaafu wa jimbo la Hanang' Fredrick Tluway Sumaye aliyezungumza nao jana kuhusiana na mambo mbalimbali ya wilaya hiyo na Taifa kwa ujumla.



Madereva wa pikipiki wakiwa kwenye maandamano ya pikipiki katika mji mdogo wa Katesh Wilayani Hanang' Mkoani Manyara, ambapo vijana hao walijipanga kumpokea Waziri Mkuu mstaafu Fredrick Sumaye aliyefanya mkutano na kuzungumza na wananchi wa wilaya hiyo juu ya hali ya kisiasa nchini.

No comments:

Post a Comment