Tuesday 13 January 2015

NAKABIDHI MADARASA


Mkurugenzi wa Graceland Hotel Ltd na Kamanda Mteule wa UCCM Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Daniel Ole Materi, akizungumza jana wakati alipokabidhi madarasa mawili ya shule ya msingi iliyopo Terrat aliyojengwa kwa gharama ya sh50 milioni pembeni yake ni Mbunge wa Jimbo hilo, Christopher Ole Sendeka.

No comments:

Post a Comment