Sunday 29 July 2012

RC AKIKAGUA GWARIDE

Mkuuu wa Mkoa wa Manyara Elaston Mbwilo akiongozana na Kamanda wa polisi wa mkoa huo ili kukagua gwaride la askari polisi wakati akigawa vyeti na fedha kwa askari wa jeshi hilo waliofanya vitendo vya kuigwa mfano

No comments:

Post a Comment