Tuesday 17 July 2012

BONAZA TASWA ARUSHA

Mgeni rasmi wa bonanza la waandishi wa habari wa lililoandaliwa na waandishi wa chama cha waandishi wa habari za michezo TASWA Arusha kupitia Kampuni ya MS Unique ya mjini Arusha,Mbunge wa Viti maalum CCM Vijana Mkoa wa Arusha,Catherin Magige akizungumza na Mkuu wa Wilaya ya Arusha John Mongella kulia ni Mratibu wa Bonanza hilo Jamillah Omary na wapili kulia ni mkuu wa wilaya ya Korogwe Mrisho Gambo.

No comments:

Post a Comment