Sunday 17 June 2012

USHIRIKINA KWA MTOTO WAKO

Mtoto Monica Anthony (3) akihojiwa na askari polisi wa upelelezi Neema Lucas na Sajini Joseph Mirambo wa kituo cha polisi Mirerani Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara ambaye amekuwa akifanyiwa vitendo vya ukatili ikiwemo kujeruhiwa kwa vipigo na kufanyiwa ushirikina na baba yake mzazi Anthony Bedan (25) ambaye amekuwa akimlaza kwenye uvungu wa kitanda na kumpiga ili kumtoa damu ili ajipake akapate madini ya Tanzanite mgodini ambapo pia humning'iza mtoto wake Christina Anthony (9) wapili kushoto miguu juu kichwa chini ili damu zimtoke puani kisha amwagie Monica ili akapate madini kwa vitendo vya ushirikina. 

No comments:

Post a Comment