Monday 25 June 2012

MAKAMANDA KASKAZINI

Kamanda wa polisi Mkoani Arusha,Liberatus Sabas kushoto akizungumza na Makamanda wa mikoa ya Manyara,Akili Mpwapwa kushoto na Robert Boaz wa Kilimanjaro kwenye kikao cha ujirani mwema wa viongozi wa Kanda ya Kaskazini kilichofanyika mjini Babati

No comments:

Post a Comment