Thursday 5 September 2013

SIMBA SC ILIPOCHEZA NA TANZANITE SC YA MJI MDOGO WA MIRERANI



Mkuu wa Kituo cha Polisi Mirerani Mrakibu wa polisi Ally Mohamed Mkalipa akisalimia na Abdulhamid Humud wakati akiikagua timu ya Simba ilipotembelea mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara na kucheza na timu ya Tanzanite Sports Club.



Mkuu wa Kituo cha Polisi Mirerani, Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Mrakibu wa polisi Ally Mohamed Mkalipa akisalimia na Abdalah Seseme wakati akiikagua timu ya Simba ilipotembelea mji mdogo wa Mirerani na kucheza na timu ya Tanzanite Sports Club.



Mkuu wa Kituo cha Polisi Mirerani SP, Ally Mohamed Mkalipa akisalimia na wachezaji wa timu ya Tanzanite Sports Club kabla haijacheza na timu ya Simba Sports Club wakati ilipotembelea mji mdogo wa Mirerani.

No comments:

Post a Comment