Monday 12 August 2013

MAANDALIZI NYUMBA YA MILELE YA MFANYABIASHARA WA MADIN YA TANZANITE



Hii ndiyo nyumba ya milele ya Bilionea mfanyabiashara maarufu wa madini ya Tanzanite marehemu Erasto Msuya ambapo kesho jumanne Agosti 13 tukijaliwa tutamsitiri nyumbani kwao mtaa wa Kairo Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara.



Maandalizi ya nyumba ya milele ya bilionea mfanyabiashara maarufu wa madini ya Tanzanite marehemu Erasto Msuya ambapo kesho jumanne ya Agosti 13 tukijaliwa tutamsitiri nyumbani kwao mtaa wa Kairo Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara.

No comments:

Post a Comment