Tuesday 20 December 2016

VODACOM YATOA MSAADA KITUO CHA WAZEE SARAME MAGUGU BABATI MANYARA



Meneja ruzuku na mawasiliano wa Vodacom Tanzania Foundation, Sandra Oswald, akimkabidhi, mmoja kati ya wazee wa kituo cha wazee na wasiojiweza Sarame Magugu, Wilayani Babati Mkoani Manyara, Maalim Masaja chandarua, ambapo waliwakabidhi wazee hao mashuka, vyandarua, vyakula, dawa na mahitaji mengine yenye thamani ya zaidi ya sh10 milioni.
Meneja ruzuku na mawasiliano wa Vodacom Tanzania Foundation, Sandra Oswald, akimkabidhi Khadija Omari, mmoja kati ya wazee wa kituo cha wazee na wasiojiweza Sarame Magugu, Wilayani Babati Mkoani Manyara, shuka na vyandarua, baada ya kukabidhi msaada wa vyakula, dawa na mahitaji mengine yenye thamani ya zaidi ya sh10 milioni.

No comments:

Post a Comment