Friday 25 October 2013

ZIMAMOTO


Kamanda wa Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Manyara, Elisha Mugisha akizungumza juzi mjini Babati, wakati wa kuwapongeza wafanyakazi waliopanda vyeo na kuwaaga na kuwakaribisha watumishi wapya, (katikati) ni Naibu Kamishna wa Zimamoto na Uokoaji, Billy Mwakatage na Kamanda wa Kilimanjaro Mrakibu Mwandamizi Gilbert Mvungi.

No comments:

Post a Comment