Mbunge
mtarajiwa wa Jimbo ambalo wananchi watamchagulia
Sunday, 17 August 2014
Thursday, 14 August 2014
MKUTANO WA TMF NA WAANDISHI WA HABARI MJINI DODOMA
Mkutano
wa waandishi wa habari unaoendelea Dodoma Hotel kuhusu mrejesho wa rujuku
vijijini wa Mfuko wa waandishi nchini TMF
Waandishi
wa habari wakiwa Dodoma hoteli kwenye tafakari mbalimbali ya mrejesho wa ruzuku
binafsi vijijini wa Mfuko wa waandishi nchini TMF
Sunday, 10 August 2014
HARAMBEE KAIRO
Mbunge wa Jimbo la Simanjiro Mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka na msanii wa muziki Nakaaya Sumary, wakiimba kwenye Kanisa la KKKT Usharika wa Mikungani Mtaa wa Kario, katika harambee ya kuchangia kanisa hilo ambapo sh8 milioni zilipatikana.
Mbunge wa jimbo la Simanjiro Mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka na Diwani wa Kata ya Endiamtu, Lucas Zacharia wakiwa kwenye harambee ya kuchangia Kanisa la KKKT, Dayosisi ya Meru mtaa wa Kairo
Saturday, 9 August 2014
Subscribe to:
Posts (Atom)
