Sunday, 5 May 2013
MLIPUKO OLASITI ARUSHA
Kanisa Katoliki Parokia ya Olasiti jijini Arusha ambapo kulitokea mlipuko leo asubuhi
Kanisa Katoliki Parokia ya Olasiti jijini Arusha ambapo kulitokea mlipuko leo asubuhi
Baadhi ya majeruhi kwenye Kanisa Katoliki Parokia ya Olasiti jijini Arusha ambapo kulitokea mlipuko leo asubuhi
Thursday, 2 May 2013
BWAWA LANGAI
Diwani wa kata ya Langai Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara,Jackson Sipitek akiwaonyesha baadhi ya wakazi wa eneo hilo sehemu ya bwawa lililoharibika.
Tuesday, 12 March 2013
WANAAPOLO WA TANZANITE
Hawa ni wachimbaji wadogo wa madini ya
Tanzanite (WanaApolo) wa Mji mdogo wa Mirerani Wilaya ya Simanjiro Mkoani
Manyara ambao ni kati ya zaidi ya Watanzania milioni moja wanaotegemea
uchimbaji mdogo wa madini na inakadiriwa kuwa madini ya Tanzanite huingiza
mapato yanayofikia dola za marekani milioni 20 kwa mwaka hapa nchini lakini
soko la dunia takwimu zinaonyesha huwa mauzo ya dola milioni 500 za marekani kwa
mwaka yanafanyika,kiasi ambacho ni kikubwa mno ukilinganisha na takwimu za
mauzo zinazopatikana hapa nchini.
ZIARA YA KINANA CHINA
Mjumbe
wa Kamati Kuu ya CCM,Khadija Aboud akisalimiana na Katibu wa kitengo cha
kusimamia maadili wa Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC),Huang Xianyao,Aboud
alikuwa kwenye msafara wa viongozi wa CCM wakiongozwa na Katibu Mkuu wa
CCM,Abdulrahaman Omary Kinana na ujumbe wake walipokuwa na hafla maalum
iliyofanyika katika hoteli ya Dongfang Jimbo la Guangzhou,China.
Katibu
Mkuu wa CCM,Abdulrahman Omary Kinana akimkabidhi zawadi ya kinyango cha
Kimakonde, Katibu wa kitengo cha kusimamia maadili wa Chama Cha
Kikomunisti cha China (CPC), Huang Xianyao, Kinana na ujumbe wake
walipokuwa na hafla maalum iliyofanyika katika hoteli ya Dongfang Jimbo la
Guangzhou,China.
Subscribe to:
Posts (Atom)






