Wakereketwa, wapenzi na wananchama wa CCM Kata ya Endiamtu
Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, wakiwa kwenye kampeni
ya kumnadi mgombea udiwani Lucas Chimba Zacharia
Tuesday, 20 October 2015
Sunday, 11 October 2015
Thursday, 1 October 2015
MWENGE WA UHURU MKOANI MANYARA
Mara baada ya kuhitimisha mbio za mwenge wa uhuru
tulipoukimbiza Mkoani Manyara
Wakimbiza mwenge kitaifa Karim Haruna (kushoto) na Arnold Litimba wakikagua zao la kitunguu kwenye kijiji cha Gunge Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, mara baada ya mwenge wa uhuru kutembelea wilayani humo
Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa, Juma Khatibu Chum akizindua mradi wa barabara ya Bassodesh-Mulbadaw jana Wilayani Hanang' Mkoani Manyara.
Wednesday, 23 September 2015
KAMANDA UVCCM SIMANJIRO DANIEL OLE MATERI
Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahaman Kinana akimkabidhi cheti na kumpongeza Mkurugenzi wa Grace Land Hotel Daniel Ole Materi ambaye ni Kamanda wa UVCCM Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, katikati ni Mkuu wa wilaya hiyo Mahmoud Hashim Kambona na Katibu wa CCM mkoani humo Ndeng'aso Ndekubali.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahaman Kinana akimkabidhi ngao Mkurugenzi wa Grace Land hotel Daniel Ole Materi na kumsimika kuwa Kamanda wa UVCCM Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara.
Kamanda wa vijana wa UVCCM Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Daniel Ole Materi akiwapungia mkono wakazi wa Mji mdogo wa Mirerani, baada ya kusimikwa na Ktibu Mkuu wa CCM, Abdulrahaman Kinana.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahaman Kinana akimkabidhi ngao Mkurugenzi wa Grace Land hotel Daniel Ole Materi na kumsimika kuwa Kamanda wa UVCCM Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara.
Kamanda wa vijana wa UVCCM Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Daniel Ole Materi akiwapungia mkono wakazi wa Mji mdogo wa Mirerani, baada ya kusimikwa na Ktibu Mkuu wa CCM, Abdulrahaman Kinana.
LUCAS ZACHARIA
Katibu Uchumi na Fedha wa CCM Mkoani Manyara, Lucas Chimbason Zacharia akijinadi mbele ya Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Omary Kinana, kwa wakazi wa Mji mdogo wa Mirerani wakati akiomba kuchaguliwa kuwa diwani wa Kata ya Endiamtu.
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahaman Kinana akimsikiliza Katibu Uchumi na Fedha wa CCM Mkoa wa Manyara, Lucas Zacharia wakati akiomba kura ili achaguliwe tena kuwa Diwani wa Kata ya Endiamtu.
Mgombea udiwani wa Kata ya Endiamtu Wilayani Simanjiro Lucas Chimbason Zacharia ambaye pia ni Katibu Uchumi na Fedha wa CCM mkoani Manyara, akiwaomba kura wakazi wa kata hiyo.
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahaman Kinana akimsikiliza Katibu Uchumi na Fedha wa CCM Mkoa wa Manyara, Lucas Zacharia wakati akiomba kura ili achaguliwe tena kuwa Diwani wa Kata ya Endiamtu.Mgombea udiwani wa Kata ya Endiamtu Wilayani Simanjiro Lucas Chimbason Zacharia ambaye pia ni Katibu Uchumi na Fedha wa CCM mkoani Manyara, akiwaomba kura wakazi wa kata hiyo.
Subscribe to:
Posts (Atom)






