Mwenge wa uhuru ukiwa Mkoani Manyara
umetembelea miradi 52 yenye thamani ya shilingi bilioni 4.3
Sunday, 31 August 2014
Monday, 18 August 2014
MAHINDI GALAPO
Wakulima
wa zao la mahindi wa Kijiji cha Galapo Wilayani Babati Mkoani Manyara,
wakipukuchua mahindi yao ili wayapeleke sokoni ila wameiomba Serikali
iharakishe ununuzi wa mahindi hayo kabla ya mvua hazijaanza kunyesha na kusababisha
uharifu
Wakulima wa Kijiji cha Galapo Wilayani Babati Mkoani Manyara, wakiandaa mahindi yao kwenye soko la Galapo ambapo wameiomba Serikali ifanya mpango kwa kuwatafutia soko nchi jirani ya Kenya kwani mahindi ni mengi mno kwenye eneo hilo
WANAAPOLO
Wachimbaji
wadogo wa madini ya Tanzanite maarufu kama WanaApolo wa Mji mdogo wa Mirerani
Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara.
Sunday, 17 August 2014
KAMANDA WAITARA
Baadhi ya viongozi wa Chadema, wa mdogo wa Mirerani, Wilayani
Simanjiro Mkoani Manyara, wakimsikiliza Mjumbe wa Taifa wa Kamati Kuu ya Chama
hicho Mwita Waitara akizungumza nao.
Mjumbe wa Kamati Kuu
ya Chadema, Mwita Waitara akizungumza na baadhi ya viongozi wa chama hicho
wa mdogo wa Mirerani, Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, kuhusiana na chaguzi
mbalimbali za chama hicho kwenye wilaya hiyo.
Subscribe to:
Posts (Atom)




