Saturday, 19 January 2013

UTALII WA NDANI TARANGIRE

Hifadhi ya Taifa ya Tarangire ambayo ni ya tatu nchini kwa kuingiza fedha za kigeni kwa utalii nchini sehemu yake kubwa ipo Mkoani Manyara katika kuutangaza utalii wa ndani.

TARANGIRE

Hifadhi ya Taifa ya Tarangire ambayo sehemu yake kubwa ipo Mkoani Manyara katika kuutangaza utalii wa ndani.

Monday, 7 January 2013

JK AKIWA IGUNGA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa Igunga katika mkutano mkubwa wa hadhara uliofanyika uwanja wa Barafu mjini Igunga baada ya kuzindua ujenzi wa daraja la Ngutu pamoja na mradi mkubwa wa maji utaohudumia asilimia 70 ya wakazi wa Igunga Mkoani Tabora.

JK IGUNGA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa Igunga katika mkutano mkubwa wa hadhara uliofanyika uwanja wa Barafu mjini Igunga baada ya kuzindua ujenzi wa daraja la Ngutu pamoja na mradi mkubwa wa maji utaohudumia asilimia 70 ya wakazi wa Igunga Mkoani Tabora.

Tuesday, 1 January 2013

RIP SAJUKI

Msanii maarufu wa Filamu hapa nchini Juma Kilowoko (Sajuki amefariki dunia leo Januari 2 mwaka 2013 Alfajiri akiwa amelazwa katika hospitali ya Muhimbili.

RIP SAJUKI





Msaanii Juma Kilowoko ( SJUKI) amefariki alfajiri ya leo Januari 2 mwaka 2013 katika hosptali ya Muhimbili. Tutaendelelea kuwaletea taarifa zaidi za msiba na mazishi.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. Amen.